DALILI ZA KUKOSA NGUVU ZA KIUME

 UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.

Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoamaxresdefault (1)

CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

  1. Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
  2. Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
  3. Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
  4. Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
  5. Kisukari
  6. Kuwa na mawazo na wasiwasi
  7. Matumizi ya madawa mbalimbali
  8. Umri hasa wazee
  9. Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
  10. Kuwa na tatizo la kibofu
  11. Tabia za kujichua kwa mda mrefu
  12. Kutopata usingizi kamili
  13. Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa kama kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni kama;3850378299001_5085141251001_5085119722001-vs

  1. Kuwahi kufika kileleni
  2. Kukosa hamu ya mapenzi
  3. Kushindwa kurudia tendo la ndoa
  4. Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
  5. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
  6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
  7. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
  8. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaj

Maoni